SIKU CHACHE ZIMESALIA NILAUNCH NGOMA YANGU - MIGOMO

Mashabiki wangu nyote mliopo katika kila upande wa ulimwengu huu inabidi mkae mkao wa kula kwani ni siku chache tu zimesalia niweze kuachia rasmi ngoma yangu ya kwanza katika vyombo vya habari.
Ngoma hio inayofahamika kama MIGOMO itapatikana katika blogi hii yangu rasmi siku ya ijumaa tarehe 30 Julai sambamba na kwenda hewani katika vituo vyote vya redio mkoani kisha baadae kufuatwa na launch ya kitaifa.



Migomo ni ngoma ambayo niliiproduce mimi mwenyewe katika studios zangu -RICKY RECORDS zinazopatikana Kilifi Mjini.
Share on Google Plus

About Ricky Melodies

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

1 comments: